Ni hapa...

Umefika mahali unapopahitaji ...karibu!

Posted by BM. on Friday, January 27, 2012

Hazel Jones went on to TV program called " This Morning" to discuss her 1 in a million medical condition. Known as uterus didelphys, it can more easily be described by saying she was born with two vaginas!Health expert Dr Dawn Harper explained on the show that Hazel’s condition occurred because the uterus tube septum failed to break down when Miss Jones was a baby. this lead to two uterus’ being formed instead of one.

She also went on to explain that the condition of developing two uterus’ is not so rare, the rare part is that she has two vaginas to go with them.
She said,”The two tubes have made two separate uteruses and two vaginas and two cervixes. And although it’s relatively common to have a septum within the uterus, to actually have two separate uteruses is much rarer – one in a million.”

Hazel realized she was having problems when she hit puberty and started menstruating.
That wasn’t fun. I used to suffer from horrendous cramps and my periods could be very heavy. I now know that my periods were worse because I have two wombs,” Hazel explained. It wasn’t nice. I had friends and I tried explaining to them I was having problems and they had no idea what I was doing wrong. I always noticed there was this thing there.”She went on to talk about what it was like having two vaginas. She had to live with the reality that she could get pregnant twice, and at two different times. She had to lose her virginity twice.She was offered corrective surgery, but declined saying,“They have to treat you like they would a post-op transsexual because if you have something removed from an area like that there’s a risk of healing back together. You have to have it separated all the time and it can be very uncomfortable and cause scar

Posted by BM. on Thursday, January 26, 2012




viunga vya Shinjuku , jijini Tokyo leo mchana

Posted by BM. on Tuesday, January 24, 2012

Kuanzia Feb mosi mwaka huu, matangazo ya Idhaa ya Kiswahili ya Redio Japani yatasikika moja kwa moja kupitia TBC FM Dar es salaam baada ya mkataba rasmi kutiwa saini mwishoni mwa wiki iliyopita Jumamosi tarehe 21/1...jijini Dar es salaam. Ilikuwa hafla iliyohudhuriwa na Mkurugenzi mtendaji wa TBC Bw.Clement Mshana aliyetia saini kwa niaba ya TBC na Mwakilishi wa NHK World Bi Yuko Asano akiwa na ujumbe wake wa watu watano kutoka Japani.

Alikuwepo balozi wa Japani Nchini Tanzania Mh. Okada , Mkurugenzi wa habari maelezo Bw. Raphael Hokororo aliyesoma hotuba kwa niaba ya waziri wa Habari , utamaduni na Michezo mh. Emannuel Nchimbi,na wadau wengine wakiwemo wasikilizaji wetu waliotoka katika nchi za Kenya, Uganda na wa nyumbani Tanzania.Mwingine ni makamu wa Mwenyekiti wa Bodi ya TBC na wafanyakazi wa TBC walitupa support sana..tafadhali fuatilia habari hizi kwa njia ya picha.

Posted by BM. on Tuesday, January 24, 2012

Shughuli haikuwa ndogo...mbali na viongozi Meza kuu.. mkuu wa TBC FM Bw. Othmn Iddi aliongea katika hafla hiyo(picha ya chini hapo)


Posted by BM. on Tuesday, January 24, 2012

Mkurugenzi mtendaji wa TBC Bw. Clement Mshana akimungoza Balozi wa Japan nchini Tanzania Mh. Okada alipokuwa akiondoka kutoka kwenye hafla.
Makamanda; Dr. Kamugisha Kazaura , Reginald Ndesika , Atsuko iiyama wa NHK World , Bi. Fatma Mbilili na mumewe Dr. Ally Simba nao walikuwepo...


Mmoja wa wasikilizaji wa Redio Japani Generoza Ndunguru (Picha ya chini)mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dodoma, akiongea katika hafla hiyo...
shukuran sana wadau

Posted by BM. on Tuesday, January 24, 2012

Nawaomba radhi sana wapenzi wa Mirindimo kuwa kwa siku kadhaa sikuwa hewani kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wangu...nimerejea sasa kwa kishindo...muda mfupi ujao nitamwaga picha zilizopigwa bongo (Tanzania) katika hafla maalum ya uzinduzi wa matangazo ya NHK World kupitia TBC FM ...!
Sasa unaweza kuziona picha nyingine nyingine nyingi kupitia mtandao rafiki wa ; www.aikamangi.blogspot.com hapo kulia kwako kuna mtandao unaojitambulisha kama UMOJA NI NGUVU bofya hapo na endelea kufuatilia picha...

Posted by BM. on Thursday, January 05, 2012

Posted by BM. on Wednesday, January 04, 2012


Hasira hasara...
Kaza moyo...

Posted by BM. on Sunday, January 01, 2012

Marafiki zangu wa MIRINDIMO nawatakia kheri ya mwaka mpya. Hapa Japani tayari tumeshauanza mwaka mpya wa 2012. Jiografia imelazimisha iwe hivyo. Maeneo mengine duniani walikwisha ingia mapema kabla yetu na wengine itabidi wasubiri kwa saa kadhaa. Lakini naamini sote tutafika tu, kwa nguvu za Mungu.
Tuna wajibu wa kumshukuru Mungu kwa kufika siku hii ya leo. Wanaadamu wenzetu kwa mamilioni duniani hawakubahatika kuuona mwaka mpya, wameishia katikati au dakika moja kabla ya kugonga saa 6 usiku tayar kuingia mwaka mpya wa 2012. Wamepoteza uhai wao kwasababu nyingi , Mapenzi ya Mungu, ajali, vita, magonjwa , majanga, na wengine wameuwawa kikatili. Wametangulia. Tuliobaki na kuuona mwaka 2012, tuna wajibu wa kuanza upya leo. Tuachane na fukuto la nafsi la mwaka uliopita na tuwe na matumaini mapya . Kheri ya mwaka mpya, nawapenda nyote!
-Msulwa.