Akina dada hawa wanaojiita wanaharakati wakiwa wanaandamana mitaani kama unavyowaona huko Uhispania kupinga mchezo wa kupambanisha madume ya Ng-ombe.Wanasema watu wanapowashangaa ujumbe unafika...haya ingekuwaje ingekuwa kwetu Manzese uwanja wa fisi ...sijui !
Dira Ya Dunia
9 hours ago

0 comments:
Post a Comment