Ni hapa...

Umefika mahali unapopahitaji ...karibu!

Posted by BM. on Saturday, April 25, 2009

Hii ni tarehe 5, Januari mwaka 2008 Raisi wa ANC na Raisi mtarajiwa wa Afrika ya Kusini Jacob Zuma akiwa na mkewe mwenye miaka 33 Nompumelelo Ntuli, wakicheza katika sherehe moja ya harusi ya Kizulu iliyofanyika huko Nkandla, Km 400km Kaskazini mwa Durban,nchini Afrika ya Kusini.

0 comments: