Ni hapa...

Umefika mahali unapopahitaji ...karibu!

Posted by BM. on Monday, June 11, 2012

NIMEREJEA..... Wapenzi wa ukurasa huu wa MIRINDIMO, nawaomba radhi sana kwa kutokuweka kitu kipya kwa muda mrefu. Nilikuwa na dharura. Mtandao ulipata kwikwi iliyokaa mahala pabaya. Nimesaidiwa mpaka nimekwamuka. Namshukuru sana da Subi kule Marekani kwa ushauri wake wa kiufundi na Bro. Malkiory kule Finland. Tulikuwa nao kimyax2 wakinisaidia. bado niko katika hatua za mwisho za kuirejesha vilivyo ilivyokuwa. Nawashukuru mashabiki wote wa MIRINDIMO kwa uvumilivu. Msulwa.

0 comments: