Hili Jengo lipo Tokyo , hapa ndipo ilipofanyika baadhi ya michezo ya Olyimpiki ya 1964. Sasa linatumika kama jumba la maonyesho ya wasanii na kazi nyingine za sanaa. Mhmm! kwa wenzetu kulipambazuka mapema!
Kwa nini Iran iliamua kuishambulia Israel?
40 minutes ago

Dar Es Salaam Time
Tokyo Time
0 comments:
Post a Comment