Ni hapa...

Umefika mahali unapopahitaji ...karibu!

Posted by BM. on Wednesday, October 22, 2008

Obama yuko Hawaii ambako amekwenda kumuuguza bibi yake Madelyn Dunham mwenye umri wa miaka 85 anayeonekana pichani. Bibi huyo alimlea Barack baada ya wazazi wake kufariki. Inaripotiwa kuwa aliteleza na kuvunjika kiuno.

0 comments: