Watangazaji wa Idhaa ya Kiswahili ya BBC -London walipata fursa ya kutembelea Kituo cha Starehe kwa watu makini maarufu -Kiluvya Pub , Mwenye fulana ya bluu yenye mistari ni Mkurugenzi wake Bw. Luwanda na kushoto kwake Naibu Mkurugenzi mama Luwanda. Pub iko kando kando ya barabara ya Morogoro karibu na Kibamba . Huwezi kukamilisha mapumziko ukiwa Dar bila kutupa jicho hapo. Habari ndio hiyo!
Ni hapa...
Umefika mahali unapopahitaji ...karibu!
Posted by
BM.
on
Friday, October 17, 2008
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment