Badhi ya wachezaji wa timu ya Tanzania iliyoshiriki katika mashindano ya Olympiki mwaka 2008 huko Beijing , China wakiwa nyumbani kwa balozi wa Tanzania nchini humo. Wapili kulia ni Komrade Robert Luwanda , Mkurugenzi mtendaji wa Kiluvya Pub iliyopo Tanzania aliyekwenda huko kushuhudia mashindano hayo. "haikuwa rizki" hatukupata medali.
JAFO AANZA KUTEKELEZA AHADI ZAKE KISARAWE
2 hours ago
Dar Es Salaam Time
Tokyo Time
0 comments:
Post a Comment