Badhi ya wachezaji wa timu ya Tanzania iliyoshiriki katika mashindano ya Olympiki mwaka 2008 huko Beijing , China wakiwa nyumbani kwa balozi wa Tanzania nchini humo. Wapili kulia ni Komrade Robert Luwanda , Mkurugenzi mtendaji wa Kiluvya Pub iliyopo Tanzania aliyekwenda huko kushuhudia mashindano hayo. "haikuwa rizki" hatukupata medali.
Ni hapa...
Umefika mahali unapopahitaji ...karibu!
Posted by
BM.
on
Sunday, October 19, 2008
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment