Ni hapa...

Umefika mahali unapopahitaji ...karibu!

Posted by BM. on Sunday, November 30, 2008


TIMU ya soka ya Tanzania, Taifa Stars jana Jumamosi iliikandamiza Sudan ‘Mwewe wa Jangwani’ kwa mabao 3-1 katika mechi ya kuwania tiketi ya kushiriki fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika kwa wachezaji wanaocheza ligi za nyumbani (CHAN).

0 comments: