Ni hapa...

Umefika mahali unapopahitaji ...karibu!

Posted by BM. on Saturday, November 29, 2008

Yoweri Museveni akisalimiana na Mama Mulamula , Katibu Mkuu wa nchi za Maziwa Makuu. Kushoto Mh. Benjamini Mkapa Na Gen. O. Obasanjo. Wanasaka amani Kongo . Museveni ameshakwenda Kaskazini mwa Uganda kusaini Mktaba wa amani na Kony.

0 comments: