Ni hapa...

Umefika mahali unapopahitaji ...karibu!

Posted by BM. on Tuesday, December 23, 2008

Mbilia Bel akijifua dakika za mwisho kabla hajapanda jukwaani jijini Dar . Ilikuwa katika kituo cha kukuza vipaji THT. Tayari amemaliza maonyesho yake jijini humo.

0 comments: