Anga ya jiji la Ukanda wa Gaza lilifunikwa na vikaratasi vilivyomwagwa na majeshi ya Israel kuwataka watu walio na habari walipo wapiganaji wa HAMAS watoe taarifa.
Inaingia wiki ya tatu ya mashambulizi Wapalestina 1,015 wamekwisha uwawa na waisrael wanne.Fuatilia kadhia hiyo katika picha kutoka mashirika ya kimataifa.
Operesheni ya Israeli inaelekea wapi?
54 minutes ago
0 comments:
Post a Comment