Ni hapa...

Umefika mahali unapopahitaji ...karibu!

Posted by BM. on Friday, February 20, 2009

Noti ya Shillingi mia enzi zake , ilikuwa na thamani kubwa sana. Mshahara wa afisa wa serikali zilikuwa noti hizo mbili miaka ya themanini. Saini zilikuwa na Cleopa David Msuya , waziri wa fedha na Charles Nyirabu , Gavana wa BOT. Upooo!

0 comments: