Noti ya Shillingi mia enzi zake , ilikuwa na thamani kubwa sana. Mshahara wa afisa wa serikali zilikuwa noti hizo mbili miaka ya themanini. Saini zilikuwa na Cleopa David Msuya , waziri wa fedha na Charles Nyirabu , Gavana wa BOT. Upooo!
Kwa nini Iran iliamua kuishambulia Israel?
39 minutes ago
Dar Es Salaam Time
Tokyo Time
0 comments:
Post a Comment