Utafiti wa kisayansi umethibitisha kuwa kucheka na kutabasamu mara kwa mara ni tiba ya mwili. Penda kufurahi , kucheka na kutabasamu .Watu wanaonuna na kukunja uso kila mara wanakabiliwa na magonjwa mengi msongo wa mawazo -stress, PB, kichwa na maji kupungua mwilini. Acha kununa wewe...Makala kamili siku nyingine.
TUSUBIRI MAAJABU YA MEZA KUPINDULIWA LUPASO
41 minutes ago
0 comments:
Post a Comment