Ni hapa...

Umefika mahali unapopahitaji ...karibu!

Posted by BM. on Friday, March 27, 2009

Utafiti wa kisayansi umethibitisha kuwa kucheka na kutabasamu mara kwa mara ni tiba ya mwili. Penda kufurahi , kucheka na kutabasamu .Watu wanaonuna na kukunja uso kila mara wanakabiliwa na magonjwa mengi msongo wa mawazo -stress, PB, kichwa na maji kupungua mwilini. Acha kununa wewe...Makala kamili siku nyingine.

0 comments: