Ni hapa...

Umefika mahali unapopahitaji ...karibu!

Posted by BM. on Saturday, March 21, 2009

Kiongozi aliyetangaza kuwa Raisi wa Madagaska Andry Rajoelina ameapishwa kukamata madaraka kipindi cha mpito cha miaka miwili . Sherehe za kuapishwa zilifanyika katika uwanja wa mpira.Hii ni baada ya siku nne za kushika nchi kwa mapinduzi ya taratibu ambapo Raisi wa Nchi nchi hiyo Marc Ravalomanana amejiuzulu na kuachia madaraka kwa wakuu wa majeshi nao wakampa Rajoelina .Kijana huyo mwenye sura ya kitoto ana miaka 34 lakini ana kipaji kikubwa cha ushawishi wa kisiasa. Siku za nyuma alikuwa Dj Jijini Antananarivo katika kituo kikoja cha FM kabla hajawa Meya wa Jiji la Antananarivo.

0 comments: