Eneo la Kishili, Mwanza...Maliasili iliyoduwaa kutokana na ukosefu wa Mitaji. Nawaza maeneo ya mawe kama haya yangekuwa Marekani wangeyafanyaje. Barabara za Miji zingejengwa na mawe. Pengine pia ni ukosefu wa teknolojia ya uchongaji wa mawe.
Kwa nini Iran iliamua kuishambulia Israel?
1 hour ago
Dar Es Salaam Time
Tokyo Time
0 comments:
Post a Comment