Ni hapa...

Umefika mahali unapopahitaji ...karibu!

Posted by BM. on Wednesday, April 01, 2009

Waimbaji wa Nyimbo za dini..Rose Mhando (Kushoto) na Bahati Bukuku (Kulia) wakiwa na Mtangazaji na Meneja wa Kiss FM -Sahara Communication baada ya kurekodi kipindi kiitwacho Revival times kinachorushwa na kituo hicho kila J2.

0 comments: