Ni hapa...

Umefika mahali unapopahitaji ...karibu!

Posted by BM. on Tuesday, March 24, 2009

Mamia ya Nyangumi na Pomboo wanajikuta wako katika fukwe na wengi wao wanapoteza maisha. Huko Australia katika kipindi cha wiki moja tu zaidi ya wanyama hao 70 wamekufa . Haijulikani kwanini wanaogelea ufukweni na hatimaye kuzama mchangani. Pichani wafanyakazi wa kujitolea wa mazingira na uhifadi Huko Australia wakiwapa huduma ya kwanza kwa kuwamwagia maji ya bahari ili wanapopata nguvu kidogo wamweze kuwarudisha baharini. Ni wazito na kuwachukua kwa winchi pia unaweza kuwapa vidonda wakafia majini…Aisee

0 comments: