Ni hapa...

Umefika mahali unapopahitaji ...karibu!

Posted by BM. on Friday, March 27, 2009

Spika wa Bunge la Kongo –DRC amejiuzulu baada ya kukosoa uamuzi wa Serikaali ya nchi hiyo kuviingiza vikosi vya Rwanda nchini humo mwezi january. Mamia ya askari waliitwa mashariki mwa Kongo kupambana na waasi
Ilikuwa ni chagizo kutoka kwa wabunge wa chama tawala anachotokea cha The People's Party for Reconstruction and Democracy ambacho kiongozi wake ni Raisi Joseph Kabila. Akihutubia Bunge Vital Kamerhe anasema anaondoka kwenye kiti bila mjadala wala upigaji kura .
Zamani huyu Jamaa alikuwa mshauri wa Kabila , na Raisi Kabila mwenyewe aliwahi kusema operesheni za kijeshi haziwezi kutangazwa kwenye bunge la watu mia tano na ushee. Aliwaambia wabunge kwa kisukuma "I ask you to please accept my resignation without debate or vote. God loves Congo, and I believe in my country's future," he told lawmakers.

0 comments: