Ni hapa...

Umefika mahali unapopahitaji ...karibu!

Posted by BM. on Monday, April 27, 2009

Jumla ya watu 103 hadi leo(J3) wameshakufa kwa mafua ya ndege nchini Mexico na wengine 1500 wanaendelea na tiba . Ugonjwa umeleta taharuki kubwa . Nchini Marekani nao umeingia . Imeshakuwa tabu, Japani kila kona wamejiandaa kuzuia wakikumbuka mafua ya ndege ya Dec. 2008 na jan.2009 pale mashamba yab kuku na ndege wengine yalipoteketezwa ili kuokoa maisha ya watu. Dalili ni homa , kipandauso, mafua-yanayosakama na kujisikia ndivyo sivyo.

0 comments: