Ni hapa...

Umefika mahali unapopahitaji ...karibu!

Posted by BM. on Sunday, April 26, 2009

Mama mmoja nchini Ujerumani amefumaniwa akifanya mapenzi na mwanawe wa kumzaa jambo lililoleta gumzo kubwa nchini humo . Mtoto mwingine wa mama huyo ndiye aliyewafumania na kutoa siri hiyo hadharani . Katika kuonyesha kuwa hakubaliani na tabia hiyo aliamua kuwapandisha kizimbani mama yake na ndugu yake huyo aliyemzidi mwaka mmoja ambao walitishia kumuua iwapo atatoboa siri hiyo nje.Mkasa huo ulianza baada ya mtoto mmoja wa mama huyo alipomfumania mama huyo akifanya mapenzi na mtoto wake mwingine.Kijana wa mama huyo mwenye umri wa miaka 18 aliyejulikana kwa jina la Michael alipigwa na butwaa asijue la kufanya baada ya kumkuta kaka yake anayemfuatia mwenye umri wa miaka 19 akila uroda na mama yao mzazi nyumbani kwao.Mama wa kijana huyo aliyejulikana kwa jina la Karin alimtishia mtoto wake huyo kuwa atamuua iwapo atatoboa siri ya uhusiano wake huo na kaka yake.Michael kwa hasira aliwafungulia mashtaka mama yake na kaka yake kwa uhusiano wao huo haramu pamoja na kumtishia kumuua.Uhusiano wa mama huyo na mwanae unasemekana ulianza miaka minne iliyopita baada ya mama huyo ambaye aliwaacha watoto wake wakiwa wadogo walelewe kwenye nyumba za kulelea watoto kuamua kuwachukua watoto wake baada ya miaka 15.Mtoto mkubwa wa mama huyo anayeitwa Mark alitokea kumpenda mama yake mzazi na matokeo yake walianza uhusiano wa kimapenzi kisiri hadi hivi karibuni walipofumaniwa.Fumanizi hilo lililopelekea Michael kuwapandisha kizimbani mama yake mzazi na kaka yake limekuwa gumzo sana nchini Ujerumani.Kesi ya kutishia kuua inayowakabili mama na mwanae inaendelea kusikilizwa katika mahakama moja nchini humo

0 comments: