Akina dada hawa wanaojiita wanaharakati wakiwa wanaandamana mitaani kama unavyowaona huko Uhispania kupinga mchezo wa kupambanisha madume ya Ng-ombe.Wanasema watu wanapowashangaa ujumbe unafika...haya ingekuwaje ingekuwa kwetu Manzese uwanja wa fisi ...sijui !
KUANZIA SASA WATAKAONG'ATWA NA NYOKA MUHEZA KUTIBIWA BURE
57 minutes ago
Dar Es Salaam Time
Tokyo Time
0 comments:
Post a Comment