Ni hapa...

Umefika mahali unapopahitaji ...karibu!

Posted by BM. on Thursday, May 14, 2009

Mvua zinanyesha kwa wingi hivi sasa jini Mwanza na athari yake inaonekana kwenye miundombinu...Tatizo ni hakuna wahandisi wanaoweza kutanzua hili sio tu Mwanza kote likiwemo jiji la Dar es salaam au wakubwa wako kwenye strateji ya mikakati bado?

0 comments: