

Je haiwezekani kuwa na msitu kama huu katikati ya jiji la Dar s slaam ,mathalani kariakoo , Mnazi mmoja ama Kibaha . Jijini Tokyo imewezekana . Msitu huu uko katikati ya jiji lenye watu takkriban millioni 13. Tujaribu basi au!
Dira Ya Dunia
4 hours ago
Dar Es Salaam Time
Tokyo Time
0 comments:
Post a Comment