Kuna jambo kubwa sana limefanyika huko Mwanza miaka kadhaa iliyopita ya kuanzisha kituo cha utamaduni na kumbukumbu ya kabila la wasukuma kule Bujora. Hapo kumbukumbu ya kabila hilo zinahifadhiwa ambapo wageni wa ndani na nje hufika kujionea. Miaka kadhaa ijayo mambo haya yanaweza kupotea bila kujua. Weye unakotoka kuna kitu kama hiki.; kalagabaho!
Int.Pz. Peter Omari alifika hapo majuzi tu.
KANALI MALLASA AWAASA WAHITIMU JKT DHIDI YA UHALIFU
21 minutes ago
0 comments:
Post a Comment