
Washabiki wa Mirindimo...Baada ya mapumziko ya takriban mwezi Mzima Nyumbani Tanzania nimerejea Tokyo nikiwa na afya njema ...habari na picha za kutosha . Kuanzia Kesho J1 naahidi kuanza kupachika baadhi ya picha za Bongo..Sore kwa kuwa kimya lakini mambo yatatengemaa. Take 5 ..karibu. Hapo Osaka jana nikiwa njiani kuja hapa Tokyo..
Kwa nini Iran iliamua kuishambulia Israel?
41 minutes ago
Dar Es Salaam Time
Tokyo Time
0 comments:
Post a Comment