Maskofu wa kanisa Katoliki walioamua kuachana na useja wakipozi na wake zao mbele ya altare huko Nairobi nchini Kenya.Kushoto Askofu Emanuel Millingo wa Zambia na mkewe Bi. Maria Sung na Katikati Askofu Daniel Kasomo na waifu wake Maryanne akiwa kulia . Wachungaji wa kondoo wameamua mwelekeo mpya ..
TUSUBIRI MAAJABU YA MEZA KUPINDULIWA LUPASO
3 hours ago
0 comments:
Post a Comment