Ni hapa...

Umefika mahali unapopahitaji ...karibu!

Posted by BM. on Saturday, August 22, 2009

Mwezi mtukufu ukiwa umewadia , wauzaji wa vyakula maalum vya futari na daku nao wanachangamkia soko. Maboga yakiwa tayari katika soko la Tandika jijini Dar es salaam.

0 comments: