Ni hapa...

Umefika mahali unapopahitaji ...karibu!

Posted by BM. on Saturday, August 22, 2009

Rais Barack Obama wa Marekani amewatakia waislamu wote duniani mfungo mwema wa mwezi mtukufu wa Ramadhani ambao umeanza leo sehemu nyingi duniani. "Kwa niaba ya Wamarekani, waislamu wa Marekani na waislamu duniani kote nawatakia Ramadhan njema , Ramadhan Karim" alianza kwa kusema rais Obama. "Mwezi wa Ramadhani ndio mwezi ambao waislamu wanaamini quran tukufu iliteremshwa kwa mtume Muhammad (S>AW) kwa kuanzia na neno Iqra" anasema Obama. Katika ujumbe huo Rais Obama anasema mwezi wa ramadhani unawakumbusha waislamu kufanya mambo mazuri ambayo pia wakristo katika dini yao wanatakiwa kuyafanya.Salaam za Raisi Barack Obama kwa waislam..

0 comments: