Ni hapa...

Umefika mahali unapopahitaji ...karibu!

Posted by BM. on Saturday, October 31, 2009

Captain Dadis Mussa Kamara...
Muungano wa Umoja wa Ulaya, umetoa wito kuwa kiongozi wa kijeshi wa Guinea, Kaptain Mussa Kamara afikishwe mbele ya Mahakama kukabili mashitaka ya ukiukaji wa haki za kibinadamu, wakati wa kuzuia maandamanoambayo yaliandaliwa vyama vya upinzani.Kwa mujibu wa mjumbe wa maendeleo ya umoja wa ulaya,Karel de Gucht, alisema yakuwa mkuu huyo wa jeshi,Kaptain, Mussa Kamara,anahusika na mauaji ya watu wasipungua 150, wakati walipouwawa, tarehe 28, Septemba,mwaka huu.Hata hivyo , kiongozi huyo anasema kuwa hahusiki na mauaji ya watu hao.
Vurugu za Konakri, Guinea na mabavu ya Dola!

0 comments: