Ni hapa...

Umefika mahali unapopahitaji ...karibu!

Posted by BM. on Monday, October 19, 2009


Ilikuwa tarehe mosi may, 1961 Pale Nelson Mandela, alipoonyesha msimamo wa kupambana na ubaguzi wa rangi na ndipo mwandishi wa habari wa shirika moja la habari la ITN Brian Widlake alipomfuata kwa minajili ya kufanya naye mahojiano. Unaweza kuona Ushupavu wa uthabiti wa viongozi wa Nyakati zile na viongozi wa sasa na nini changamoto zetu...

0 comments: