Ni hapa...

Umefika mahali unapopahitaji ...karibu!

Posted by BM. on Saturday, October 31, 2009


Shirika Moja linalohusika na masuala ya Afya la Lung Foundation limesema kuwa watu millioni 6, watapoteza maisha kutokana magonjwa yanayosababishwa na uvutaji wa sigara, ifikapo mwisho wa mwaka ujao wa 2010.Limesema yakuwa watu wengi watakao athirika ni wale wanao toka kwenye dunia ya tatu au nchi masikini duniani kwakuwa uvutaji wa sigara katika bara la Amerika na za Ulaya na nchi nyingine zilizoendelea umepungua kwa kiasi, lakini uvutaji wa sigara umeongezeka katika nchi masikini. Eeeh Balaa!

0 comments: