Ni hapa...

Umefika mahali unapopahitaji ...karibu!

Posted by BM. on Monday, November 16, 2009


Kutokana na migogoro isiyokwisha kati ya wenza katika baadhi ya familia na kuhatarisha maisha ..ubunifu unahitajika kwa mafundi wa kutengeneza fenicha. Dawa hapo ni hiyo tu ...au unasemaje!

0 comments: