Ni hapa...

Umefika mahali unapopahitaji ...karibu!

Posted by BM. on Monday, December 28, 2009

Injinia wa Shirika la Utangazaji la Japani Hoshiya Kihonda amestaafu rasmi kazi baada ya kuifanyika kazi Redio Japani kwa miaka 35. Ana historia ndefu katika NHK lakini kubwa amefanya kazi zake kwa uaminifu mkubwa na ametokea kupendwa na wafanyakazi wenzake hususan wale wa mataifa ya kigeni. Kila la kheri .
Akiwa na Komred Ndesika...
Baadhi ya wadau wa RJ pamoja na Bw. Yoshia Kihonda.

0 comments: