Ni hapa...

Umefika mahali unapopahitaji ...karibu!

Posted by BM. on Thursday, December 17, 2009

Raisi Barack Obama wa Marekani hivi majuzi aliipokea rasmi nishani yake ya Nobel huko Norway. AAh safi...kumbe ndio hii!
Nishani yenyewe hii hapa.
Raisi Obama , Mkewe na familia ya kifalme huko Norway.

0 comments: