Kama wewe ni mpenzi wa Bakulutu ya taratibu Msikilize mwanadada huyu aayeibukia huko DRC Diva Barbara Kanam ...Cheri Mpenzi uone wenzetu wnavyojitahidi kufikisha ujumbe katika Lugha Ngeni. Nimependa kompozisheni yake halafu nenda kwa Koffi Antonio Olomide hapo chini. Hii ni kiondoa maumivu.
Haya unasemaje!
WAZALISHAJI UMEME MKOANI NJOMBE WATAKIWA KUSHIRIKIANA
4 minutes ago
0 comments:
Post a Comment