Jiji a Morogoro limerindima kwa Sherehe kabambe ya harusi ambapo Bw. Khalifa Msulwa na Bi. Naima walikata shauri la kuanza maisha ya ndoa mke na mume. Safari katika ukurasa mpya imeanza..Hongereni sana!
Bw. na Bi. Msulwa Kh..href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjyP5x3sWQ-ikyOGTAQd_Xs5txvaqj0tdmB756AF-i1gHQhortYcWd7e-4nNaDdOyKi-Z1YrMV3r1GxhxhhX2juovof8Nlpg4FC-KZiXmrneyonakJOSXDl5icJzJrdDwEoarFo8X-3Uzo/s1600-h/saha+.m+528.jpg">
Bwana na Bibi harusi wakitoka ukumbini baada ya Sherehe kumalizika..Hongereni sana na karibuni katika changamoto za maisha ya ndoa..
Operesheni ya Israeli inaelekea wapi?
48 minutes ago
1 comments:
hongera bw na bibi harusi, twawaombea maisha mema mapya yenye furaha na faraja mzae mke na mume
Post a Comment