Ni hapa...

Umefika mahali unapopahitaji ...karibu!

Posted by BM. on Monday, January 18, 2010

Mvua kubwa zilizonyesha Kilosa Kusini Mkoani Morogoro zimewaletea fadhaa watu wa maeneo hayo. Nyumba, vyakula, mifugo vyote vimekwenda..hali bado tete.
Bado hali ya sintofahamu huko Kilosa...Mvua imeondoa kila kitu...shughuli zimesimama.
Daraja katika njia ya Reli linalounganisha Morogoro na Dodoma limeondoka , miundombinu imevurugika . Wataalamu wanasema waatahitaji shillingi Billioni sita na miezi sita kushughulikia dhahma hiyo.
Photos (Baraka/Maduhu).....................
Katika hatua nyingine Raisi Muammar Gaddafi wa Libya ametoa misaada mbalimbali kwa waathirika wa mafuriko Kilosa pamoja na kuahidi kujenga Nyumba 200 zenye thamani ya Shillingi Billioni 1.5 kwa ajili ya waathirika hao. Du jamaa kweli ana moyo wa huruma ! Gaddaffi akiwa ziarani nchini Italia. Kwa Kisukuma sasa; Qaddafi arrives at Rome’s Ciampino airport with the usual retinue of 40 virgin bodyguards—all in lipstick and nail varnish—but without the camel that he transported to Paris on an official visit., Italy’s prime minister, Silvio Berlusconi, left, must have welcomed the arrival on Italian soil of a man with even more obviously dyed hair who made him look positively somber and statesman-like. By Alessandra Benedetti/Corbis

0 comments: