Ni hapa...

Umefika mahali unapopahitaji ...karibu!

Posted by BM. on Sunday, January 24, 2010


Mwanamke mmoja mwenye miaka 36 ameshikiliwa na Polisi chi ya sheria ya kuwalinda watoto na ponografia , baada ya kukamatwa siku tatu zilizopita akituhumiwa kuuza picha za binti yake ambaye wakati huu ana miaka 14 mkanda wa picha chafu za video kwa mwanamume mmoja mwenye miaka 46 mkazi wa jiji la Tokyo.
Mwanamke huyo ambaye anafanya kazi katika klabu moja ya starehe katika jiji la Tome anatuhumiwa kuuza mkanda huo –DVD mwezi Juni 2008 na tangu wakati huo Polisi wamekuwa wakikusanya taarifa za kutosha na sasa wamefikia uamuzi wa kumtia mbaroni.
Polisi inasema kuwa mwanamke huyo alikusanya picha hizo kwa kutumia kamera ya dijitali ya nyumbani kwake na baadaye kuzihamishi katika mkanda wa DVD.
Hatua ya kukamatwa imekuja baada ya mkazi mmoja wa kitongoji cha Kita hapa Tokyo kwa kushitakiwa kwa shauri lingine na polisi wakabaini DVD na vifaa vingine vinavyohusiana na picha za ponografia. Polisi wanadai kuwa mwanaume huyo na mwanamke anayeshikiliwa walikutana katika mtandao wa intaneti ambao unauza nguo za ndani. Mtaa huo pichani ndio anaokaa ..!

0 comments: