Ni hapa...

Umefika mahali unapopahitaji ...karibu!

Posted by BM. on Monday, February 01, 2010

Barafu inaendelea kudondoka kwa wingi usiku huu(J3) katika jiji la Tokyo na kuifanya hali ya baridi kuwa ya lawama zaidi. Mchana joto ilikuwa digrii 10 ...sasa imefika tatu na inazidi kushuka..bila kikanza hulali..sore kwa lugha nyingine kipashamoto cha nyumba au kwa kisukuma hita.
Kibaridi hadi kunako mfupa!Nje hakukaliki. Kwetu Hale mkeka wakunjwa.

0 comments: