Kuna ukweli kuwa wake wa wapiganaji wana ujasiri fulani katika mienendo na kauli zao. Hili ni jambo lililo na ukweli . Bofya hapo umsikie huyu , mama , kauli zake zinaweza kukufanya umwelewe vizuri.
Mke wa kiongozi wa kwanza wa Sudani Kusini Hayati John Garang , anaitwa bi Rebecca Garang alipokuwa katika mahojiano na Mtangazaji wa Sauti ya Amerika -VOA Shaka Ssali katika kipindi cha Straight Talk Africa , kuhusiana na mume wake. Ushupavu wa mwanamke huyu umenifurahisha sana..
Kwa nini Iran iliamua kuishambulia Israel?
37 minutes ago
Dar Es Salaam Time
Tokyo Time
0 comments:
Post a Comment