Jamaa mmoja huko Mansewhra nchini Pakistan alikwenda kwenye kituo kikuu cha Polisi kwa lengo la kukilipua kwa mabomu aliyojifunga nayo mwilini. Polisi walimgutukia walichofanya ni kumpiga risasi na kumuua palepale. Sasa ishu ilikuwa kuyaondoa mabomu vinginevyo jengo litalipuka. Kachero mmoja akajitosa na hapo anafanya kazi hiyo kwa tahadhali kubwa.
Kwa nini Iran iliamua kuishambulia Israel?
38 minutes ago
Dar Es Salaam Time
Tokyo Time
0 comments:
Post a Comment