Ni hapa...

Umefika mahali unapopahitaji ...karibu!

Posted by BM. on Monday, February 22, 2010

Leo nilitembelea mgahawa wa Kihindi eneo la Shibuya jijini Tokyo , chakula nilichochagua kilikuwa na pilipili kali na nilikimaliza chote ...pamoja na kibaridi kikali , kijasho kilinitoka. Hapo shughuli ilikwisha..
Shibe ya Chakula cha kihindi mwili unawaka kwa pilipili...

1 comments:

Anonymous said...

umesahau, na kamasi jembamba halikuchirizika wewe? ole wako kama hukuliona litakuwa limechanganyika na chakula (nfu nfu nfu).
Mi napenda chakula cha pilipili!