Ni hapa...

Umefika mahali unapopahitaji ...karibu!

Posted by BM. on Saturday, February 06, 2010


Kiongozi wa Chama cha Upinzani nchini Afghanistan , Abdullah Abdullah aliyeshindwa katika uchaguzi na Raisi Karzai wa nchi hiyo, katika uchaguzi wa utata , aliwa anaongea na vyombo vya habari nyumbani kwake katika jimbo la Bamiyan Kati huko Afghanistan.

0 comments: