Ni hapa...

Umefika mahali unapopahitaji ...karibu!

Posted by BM. on Thursday, February 04, 2010


Wizi wa simu ya mkononi Kwetu Afrika Mashariki ni jambo la kawaida , hata miye niliwahi kuibiwa kwa kuporwa. Sasa inasemekana njia ya kufanya imepatikana; Kwanza kabisaa ukipata simu mpya piga namba ifuatayo; *#06#
utaziona tarakimu 15 zinajitokeza , hebu zinakili namba hizo.
1:Ukiibiwa simu yako tuma kwa njia ya mail hizo namba kwa **
cop@vsnl.net* au * au kwa phone provider wako
2:Your Mobile will be traced within next 24 hrs via a complex system of
GPRS and internet.
3: You will find where your hand set is being operated even in case your
number is changed
KUMBUKA tu ; ni ujumbe , miye sijajaribu lakini nauamini unaweza kujaribu.

0 comments: