Wizi wa simu ya mkononi Kwetu Afrika Mashariki ni jambo la kawaida , hata miye niliwahi kuibiwa kwa kuporwa. Sasa inasemekana njia ya kufanya imepatikana; Kwanza kabisaa ukipata simu mpya piga namba ifuatayo; *#06#
utaziona tarakimu 15 zinajitokeza , hebu zinakili namba hizo.
1:Ukiibiwa simu yako tuma kwa njia ya mail hizo namba kwa **
cop@vsnl.net* au
2:Your Mobile will be traced within next 24 hrs via a complex system of
GPRS and internet.
3: You will find where your hand set is being operated even in case your
number is changed
KUMBUKA tu ; ni ujumbe , miye sijajaribu lakini nauamini unaweza kujaribu.
Dira Ya Dunia
2 hours ago
0 comments:
Post a Comment