Ni hapa...

Umefika mahali unapopahitaji ...karibu!

Posted by BM. on Saturday, February 06, 2010


Wanajeshi wa Marekani wakiwa vitani nchini Afghanistan , baada ya kutembea bila kupumzika kwa siku sita usiku na mchana huku wastani wa Joto ni digrii za selsiasi 40 . Sasa eneo la kupumzika kila mtu anatakiwa aandae kitanda kwa kuchimba hapo na kulala kwa saa sita kabla ya kuendelea na safari...kazi ipo mkubwa!

0 comments: