Wanajeshi wa Marekani wakiwa vitani nchini Afghanistan , baada ya kutembea bila kupumzika kwa siku sita usiku na mchana huku wastani wa Joto ni digrii za selsiasi 40 . Sasa eneo la kupumzika kila mtu anatakiwa aandae kitanda kwa kuchimba hapo na kulala kwa saa sita kabla ya kuendelea na safari...kazi ipo mkubwa!
Operesheni ya Israeli inaelekea wapi?
59 minutes ago
0 comments:
Post a Comment