Ni hapa...

Umefika mahali unapopahitaji ...karibu!

Posted by BM. on Saturday, March 27, 2010


Mamlaka za usafiri wa treni nchini Japani imeanzisha kampeni za kuwakataza watu kujipodoa wakiwa ndani ya treni kwakuwa pilika pilika hizo zinawakera watu wengine.Nchini Japani ni kawaida ndani ya treni kukuta wadada wakijipura kwa kupaka wanja, kunyoa nyusi , kupanga rangi za mdomo na nakshi nyingine sasa mabango yamewekwa kwenye vituo vya treni kuwa ni; "NO".

0 comments: