Kocha Mchezaji Nico Nyagawa akipokea kombbe la Ubingwa wa Vodacom -Bara baada ya kuiburuza Dar Young African Magoli 4-3. Mkabidhi Kombe Prof. Juma Kapuya, Waziri wa Kazi na ajira. Kulia Raisi wa TFF.Habari ndio hiyo...
Machozi ya furaha; Mwenyekiti wa Simba Hassan Dalali . Alihemewa.
Mchezaji Hillary Echessa akishangilia baada ya kufunga goli la nne la ushindi. Pembeni kulia ni mchezaji Emmanuel Okwi.
(Picha zote na wanalibeneke waandamizi.)
BALOZI NCHIMBI: MIAKA 3 YA RAIS SAMIA, KAMA MIUJIZA
18 minutes ago
0 comments:
Post a Comment