Ni hapa...

Umefika mahali unapopahitaji ...karibu!

Posted by BM. on Monday, April 19, 2010


Kocha Mchezaji Nico Nyagawa akipokea kombbe la Ubingwa wa Vodacom -Bara baada ya kuiburuza Dar Young African Magoli 4-3. Mkabidhi Kombe Prof. Juma Kapuya, Waziri wa Kazi na ajira. Kulia Raisi wa TFF.Habari ndio hiyo...


Machozi ya furaha; Mwenyekiti wa Simba Hassan Dalali . Alihemewa.


Mchezaji Hillary Echessa akishangilia baada ya kufunga goli la nne la ushindi. Pembeni kulia ni mchezaji Emmanuel Okwi.
(Picha zote na wanalibeneke waandamizi.)

0 comments: