Jana Ijumaa katika miji mingi ya Japani kulikuwa na kibaridi kikali sana. Ilishangaza kidogo kwani kipindi hiki kinatarajiwa kuwa cha uvuguvugu kuelekea kwenye joto lakini jana mambo yakabadilika. Kama unavyoona kwenye picha mkazi mmoja wa Hakone-machi, mkoa wa Kanagawa akiondoa barafu iliyoanguka mbele ya nyumba yake. Barafu ilidondoka maeneo mengi kwa viwango tofauti.kibaridi lawama , naongopa?
SIMANJIRO WASHIRIKI KULIOMBEA TAIFA
30 minutes ago
0 comments:
Post a Comment