Ni hapa...

Umefika mahali unapopahitaji ...karibu!

Posted by BM. on Friday, April 09, 2010



Mzee Mabula, mwenye miaka 76,Akionyesha kaburi la mjukuu wake lililo chini ya kitanda chake ambaye aliuwawa kikatili kutokana na ulemavu wake wa ngozi. Mjukuu wake huyo albino aliyeuwawa Mariam Emmanuel, katika chumba kilichopakana na chake alimzika ndani ya nyumba kutokana na tishio la kurudi kwa wauaji hao kuja kumalizia viunga vingine vilivyobakia , pamoja na ukweli kuwa tayari alikwishauwawa na kuzikwa. Inauma sana.. (kwa hisanai ya Getty Images)

Dada mmoja mwenye ulemavu wa ngozi akiwa nyumbani kwa bibi yake Ukere Mkoani Mwanza , Tanzania. Eneo hilo lina matukio machache ya mauaji ya albino ikilinganishwa na maeneo mengine.

0 comments: